Zitto aliandika >>> ‘Naomba utulivu.
1) ajali ya helkopta imethibitishwa
2) kuwaka hakujathibitishwa
3)ndugu yangu Deo alikuwamo
4)hakuna uthibitisho wa madhara, naomba utulivu mpaka tupate taarifa
rasmi zilizothibitishwa na mamlaka husika, naomba sana hilo ili kuepuka
sintofahamu
Hakuna maoni :