SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Askari Aliyekuwa Akiongoza Msafara wa Magufuli Afariki Dunia Kwa Ajali



Askari aliyekuwa akiongoza msafara wa mgombea urais wa CCM Dr.John Pombe Magufuli amefariki baada ya kugongana na bodaboda eneo la ubungo jijini Dar es Salaam.

Kamanda wa Polisi kikosi cha usalama Barabarani Mohamed Mpinga amethibitisha kutokea kwa kifo cha Askari huyo.

Dk Magufuli amefanya kampeni katika jimbo la Segerea leo  jijini  Dar  es  Salaam  kabla  ya  kuruka  na  kuelekea  jijini  Mwanza  ambako  amefanya  mkutano  mkubwa  wa  hadhara  katika  viwanja  vya  Furahisha

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply