SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / MASHABIKI MAN UNITED WAMKOMALIA BOLT BAADA YA KUIBUKA NA JEZI YA ARSENAL




Mwanariadha nyota duniani, Usain Bolt anajulikana ni shabiki damu wa Manchester United.

Unakumbuka amekuwa akihudhuria hadi mazoezi ya timu hiyo tokea enzi za Alex Ferguson.

Lakini juzi ameonekana akiwa ameng’ara katika uzi wa Arsenal, jambo ambalo limewaudhi baadhi ya mashabiki wa Arsenal.

Mashabiki wengi wamekuwa wakitupa lawama zao kwa Bolt kupitia mitandao mbalimbali kwamba haeleweki.

Tena lawama zinakuwa kali zaidi kwa kuwa wiki iliyopita, Arsenal ilikutana na kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Arsenal.

Lakini taarifa zinaeleza, Bolt alikuwa kazini kwa kuwa anadhaminiwa na Puma kama ilivyo kwa Arsenal.



«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply