• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Marikana: Afrika Kusini kulipa fidia






 Serikali ya Afrika Kusini imesema italipa fidia kwa familia za wafanyakazi wa mgodini waliouawa wakati wa kuzuka kwa mgogoro wa Marikana mwaka 2012.
Taarifa za kina kuhusu malipo zitatolewa na jopo huru linaloongozwa na jaji, Rais wa nchi hiyo Jacob Zuma ameeleza.

Polisi waliwafyatulia risasi wafanyakazi 34 wa mgodi katika machimbo ya Lonmin, wakidai kuwa walikuwa wakijihami.
Kwa upande wa familia, wakili wao ameripotiwa kuunga mkono tangazo la Zuma.

Vyama vya upinzani vimetaka hoja hiyo ifikishwe bungeni ijadiliwe ili waweze kupima na kutenda haki kwa familia hizo.

«
Next
Prof. Mark James Mwandosya Atoa Kauli ya Kuhama...Anakukaribisha Anapohamia..Soma Hapa
»
Previous
MALENGO YA MILENIA ENDELEVU 17 YA DUNIA YAZINDULIWA TANZANIA

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply