Akiongea na waandishi wa habari jioni hii kada wa muda mrefu mpanga Sera
na mikakati wa CCM na mshauri wa chama Dr Eve Hawa Sinare ametangaza
kukihama chama hicho na kujiunga na Ukawa. Huyu ni mtu muhimu sana kwa
CCM na msomi aliyekuwa anashauri mikakati ya ushindi kwa JK katika
chaguzi zilizopita.
Hakuna maoni :