• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Kauli ya Mwanamuziki Diamond Platnumz Baada ya John Magufuli Kushinda Urais wa Tanzania

"(Happy birthday Dr. john Pombe Magufuli...and many Congratulation for Being our New Tanzania's President...) Heri ya kuzaliwa na Pongezi nyingi zikufikie Dr. John Magufuli Pombe pamoja na Uongozi mzima na wanachama wote wa Ccm kwa kuweza kufanikiwa kuiongoza tena Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.. Lakini pia niwashukuru na kuwapongeza Vyama vyote vya upinzani kwani naamini amshaamsha mliyoifanya Mwaka huu itasaidia kuongeza kasi za utendaji wa viongozi wetu pendwa na Nchi yetu kupata Maendeleo zaidi... hakika uchaguzi wa Mwaka huu ulikuwa ni wakipekee... Ni muda wa wote sasa kushirikiana kwa pamoja na Kuijenga Nchi...Kumbuka: hakuna ataekuletea Maendeleo chumbani kwako! amka tuwajibike maana Hata Punda hajasoma lakini hakosi kazi" Diamond Platnumz

«
Next
Rais Kikwete Alivyomkaribisha Kumpongeza Dk. Magufuli Baada ya Matokeo ya Urais Kutangazwa
»
Previous
Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania pamoja na Ireland Kaskazini Wapinga Uchaguzi Mkuu Kufutwa Zanzibar

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply