• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / LIGI KUU TANZANIA BARA YAFIKIA PATAMU YANGA YAZIDI KUKAA KILELENI


Vigogo wa soka nchi Tanzania Yanga, Simba pamoja na Azam FC wamendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya ligu kuu.

Yanga waliokua ugenini mjini Morogoro kucheza na Mtibwa Sugar walipata ushindi wa mabao 2-0 kwa mabao ya Malimi Busungu na Donald Ngoma na kuifanya yanga iendelee kuongoza ligi kwa alama 15.

Azam nao wakicheza katika dimba lao la Azam Complex waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhid ya Coastal Union ya Tanga, mabao ya Azam yakifugwa na Shomari Kapombe na Kipre Tche Tche.

Wekundu wa Msimbazi Simba wakawachapa Stand United kwa bao 1-0 bao hilo pekee likiwekwa kimiani na Joseph Kimwaga.

Matokeo mengine ya michezo ya ligi hiyo
African Sports 0-1 Mgambo
Kagera Sugar 0-0 JKT Ruvu
Majimaji FC 1-1 Ndanda FC
Prisons 0-0 Mwadui FC 0

«
Next
RATIBA YA MIKUTANO YA MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA TAREHE 1 OKTOBA 2015
»
Previous
Hakuna Ray wa ‘Kutisha’ Bila Marehemu Kanumba...Wema, Aunt Ezekiel, Swebe na JB wafunguka

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply