Home / SIASA / Rais Kikwete Naye Kashapiga Kura....Kasema Tarehe 5 Atakabidhi Nchi Rais Kikwete Naye Kashapiga Kura....Kasema Tarehe 5 Atakabidhi Nchi Posted by Unknown 06:10 0 Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa Tarehe 5 Mwezi November 2015 atakuwa Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais ameyasema hayo alipokuwa akipiga kura leo katika jimbo la Chalinze-Msoga ambapo aliambatana na mkewe Mama Salma Kikwete Tagged with: SIASA « Next Chapisho Jipya » Previous Taarifa za zamani About Unknown Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.
Hakuna maoni :