• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Serena Williams kupumzika kwa mwaka



Mcheza tenesi namba moja kwa ubora duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams atapumzika kucheza mchezo huo kwa mwaka mzima kutoka na kuwa na majeraha.

Mshindi huyo wa Grand Slam 21 alitolewa kwenye michuano ya wazi ya Wuhan ,Williams mwenye miaka 34 amesema" nimecheza nikiwa na maumivu kwa muda wa mwaka mzima,"

Nyota huyo wa tenesi tayari ametoa taarifa ya kupumzika kwa chama cha mchezo wa tenesi kwa wanawake(WTA)
Serena msimu huu wa 2015 ameshinda mataji ya wazi Australian French Open na lakini haja cheza toka alipofungwa na Muitaliano Roberta Vinci.

«
Next
Watu tisa wauawa nchini Marekani
»
Previous
KIIZA BADO SI SHWARI SIMBA SC, DAKTARI ASEMA…

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply