SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / ANGALIA YALIVYOKUWA MAZOEZI YA KWANZA YA SIMBA BILA SELEMANI MATOLA


Simba imerejea mazoezini na kuanza kujifua kwa ajili ya Ligi Kuu Bara. Hiyo ilikuwa ni baada ya mapumziko ya takribani siku kumi.


Mazoezi hayo ya Simba yamefanyika kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Ndiyo mazoezi ya kwanza Simba inafanya bila ya kuwa na kocha wake msaidizi, Selemani Matola aliyeamua kubwaga manyanga.

Mazoezi yalihudhuriwa na Kocha Mkuu Dylan Kerr lakini zaidi yaliongozwa na kocha wa makipa, Iddi Salum raia wa Kenya. Lakini baadaye, Kerr naye aliingia mtamboni.


Hata hivyo, Simba inawakosa nyota wake wengi, walio katika kikosi cha Taifa Stars, Kilimanjaro Stars pia The Cranes ya Uganda.









«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply