SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Waziri Mkuu Mpya Aanza Kumwaga Cheche..Aitaka TAMISEMI Kujieleza Kwanini Mabasi Yaendayo Kasi Hayajaanza Kufanya Kazi


Waziri Mkuu Mh.Majaliwa ameitaka TAMISEMI kujieleza ni kwanini mradi wa mabasi yaendayo kasi DART haujaanza hadi sasa.

Ameagiza watendaji wote wa wizara ya TAMISEMI, akiwemo Katibu Mkuu wa Wizara ya TAMISEMI kufika Ofisini kwake kesho asubuhi kueleza kwa nini mabasi hajaanzana kazi wakati miundombinu imeshakamilika.

Ameyasema hayo leo alipotembelea Wizara ya TAMISEMI na kuongea na watendaji wa wizara hiyo.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply