Kiungo
Mtanzania anayekipiga KRA ya Kenya amesema anakerwa na kodi kubwa anayokatwa.
KRA ni timu ya
Mamlaka ya Mapato Kenya ambayo ilimaliza ligi ikiwa katika nafasi ya nane.
Naftali
aliyewahi kukipiga Simba amesema kodi imekuwa kubwa snaa.
“Kodi ni kubwa
kwa kweli, jambo ambalo linatuumiza sana wachezaji wa kigeni hapa Kenya. Wakati
mwingine nimeanza kufikiria kuondoka zangu na kujiunga na timu nyingine,”
alisema Naftali.
Naftali alikuwa
tegemeo katika safu ya kiungo cha ukabaji katika kikosi cha KRA.
Hakuna maoni :