SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Unlabelled / KIUNGO MTANZANIA ALIA NA KRA YA KENYA, ASEMA WANAKATA KODI KINOMAAA



Kiungo Mtanzania anayekipiga KRA ya Kenya amesema anakerwa na kodi kubwa anayokatwa.



KRA ni timu ya Mamlaka ya Mapato Kenya ambayo ilimaliza ligi ikiwa katika nafasi ya nane.

Naftali aliyewahi kukipiga Simba amesema kodi imekuwa kubwa snaa.

“Kodi ni kubwa kwa kweli, jambo ambalo linatuumiza sana wachezaji wa kigeni hapa Kenya. Wakati mwingine nimeanza kufikiria kuondoka zangu na kujiunga na timu nyingine,” alisema Naftali.

Naftali alikuwa tegemeo katika safu ya kiungo cha ukabaji katika kikosi cha KRA.

Aliichezea mechi 24 kati ya 30 ambazo timu hiyo ilicheza. Allifanikiwa kufunga mabao mawili huku akiwa mmoja ya waliotoa pasi za kufunga.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply