SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / JOSE MOURINHO AKABIDHIWA JEZI YA CHELSEA NCHINI CHINA


Kocha Jose Mourinho ameibukia nchini China katika jiji la Shanghai ambako haijajulikana alichokifuata.

Lakini kocha huyo wa zamani wa Chelsea, amekumbana na shabiki ambaye amemkumbisha machungu baada ya kumkabidhi jezi ya Chelsea ili asaini.

Shabiki huyo wa kike wa soka, alimfuata Mourinho akiwa na jezi ya Chelsea na kumpa mkononi ili asaini. Mourinho raia wa Ureno, hakuwa na kinyongo, akaichukua, akasaini na kumrejeshea.

Chelsea ilimtupia Mourinho virago baada ya kikosi chake kuboronga kinoma, msimu mmoja tu baada ya kutwaa ubingwa.




«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply