SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / NEWCASTLE 3 MAN UNITED 3.

LIGI KUU ENGLAND
Matokeo:
Jumanne Januari 12
Aston Villa 1 Crystal Palace 0             
Bournemouth 1 West Ham 3              
Newcastle 3 Man United 3        
+++++++++++++++
NEWCASTLE-MANUNITEDMan United wameupoteza uongozi wa 2-0 na kutoka Sare 3-3 na Newcastle huko Saint James Park na kuporomoka hadi Nafasi ya 6.

Man United walipata Bao lao la kwanza Dakika ya 9 kwa Penati ya Wayne Rooney ambayo ilitolewa baada ya Mpira wa Kona kupigwa Kichwa Fellaini na kumgonga Mbemba mkononi.

Bao la pili la Man United lilifungwa na Jesse Lingard kufuatia kaunta ataki iliyoanzia kwa Ander Herrera na kukumkuta Rooney alietoa pasi kwa Lingard na kufunga.

Dakika ya 42 Newcastle walipata Bao baada ya pasi ndefu ya Coloccini kutulizwa kwa Kichwa na Mitrovic na kumkuta Wijnaldum aliefunga vizuri.
Hadi Mapumziko Newcastle 1 Man United 2.
Kipindi cha Pili kilizaa Bao 3 na Mechi kumalizika kwa Sare ya 3-3

MAGOLI:
Newcastle 2
-Georginio Wijnaldum, Dakika ya 42
-Aleksandar Mitrovic 67 [Penati]
-Paul Dummet 90
Man United 3
-Wayne Rooney, Dakika ya 9 [Penati] na 79
-Jesse Lingard 38
+++++++++++++++
Huko Villa Park, Mechi kati ya Aston Villa na Crystal Palace ilimalizika kwa Villa kuifunga Palace 1-0.
Nao Bournemouth, wakiwa Nyumbani, waliongoza 1-0, West Ham na kumaliza wakichapwa 3-1.
VIKOSI:
Newcastle United: Elliot, Janmaat, Mbemba, Coloccini, Dummett, Tiote, Colback, Sissoko, Wijnaldum, Perez, Mitrovic.
Akiba: De Jong, Gouffran, Lascelles, Darlow, Marveaux, Toney, Sterry
Manchester United: De Gea, Young, Smalling, Blind, Darmian, Fellaini, Schneiderlin, Lingard, Ander Herrera, Martial, Rooney.
Akiba: Depay, Mata, Romero, McNair, Borthwick-Jackson, Andreas Pereira, Weir
REFA: Mike Dean
LIGI KUU ENGLAND
Ratiba
**Saa za Bongo
Jumatano Januari 13
[Mechi zote Saa 4 Dakika 45 Usiku]
Chelsea v West Brom             
Man City v Everton                 
Southampton v Watford                  
Stoke v Norwich           
Swansea v Sunderland           
[Mechi zote Saa 5 Usiku]
Liverpool v Arsenal                
Tottenham v Leicester           
Jumamosi Januari 16
1545 Tottenham v Sunderland                 
1800 Bournemouth v Norwich                  
1800 Chelsea v Everton         
1800 Man City v Crystal Palace                
1800 Newcastle v West Ham 
1800 Southampton v West Brom              
2030 Aston Villa v Leicester            
Jumapili Januari 17
1705 Liverpool v Man United          
1915 Stoke v Arsenal             
Jumatatu Januari 18
2300 Swansea v Watford

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply