SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Breaking News: Ajali Nyingine Tanga..Basi la Simba Mtoto Limegongana Uso kwa Uso na Semi Trella.


Nduguzangu  Tanga kumetokea ajali kubwa ya busi la Simba Mtoto majira ya saa kumi na mbili gari hiyo ilikua inatoka  Tanga kwenda  Dar es salaam na imegongana  na Semi Trella uso kwa uso kwenye maeneo ya Panda Mlima jirani naHale majeraha wako Muheza teule na maiti bado zimebanwa kwenye busi. Mungu awape nguvu waliofiwa pia awaponyeshe wale waliopatwa na majeraha katika ajali hiyo.




«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply