• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / MBEYA CITY REDONDO, BOBAN NDANI YAIMALIZA JKT BAO 2-1 PALE KARUME



Kikosi cha Mbeya City kimejiongezea pointi tatu muhimu katika Ligi Kuu Bara baada ya kuichapa JKT Ruvu kwa mabao 2-1 kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo.

Mbeya City ilipata mabao yake yake mawili kupitia Hassan Mwasapili na Yohanna Morris na Mussa Juma akaifungia JKT bao moja la kufutia machozi.

Kikosi cha Mbeya City, kilisimama vema sehemu ya kiungo kikiwatumia wakongwe Haruna Moshi 'Boban', Ramadhani Chombo 'Redondo' na kinda Raphael Alfa na kuipa wakati mgumu JKT.

MBEYA CITY 
JKT RUVU

«
Next
Azam FC yachukua kombe la Michuano Maalum Zambia
»
Previous
ZUNGU, NKAMIA, WABUNGE WENGINE WAJUMUIKA NA WACHEZAJI, MAKOCHA SIMBA WAKIWA NJIANI KWENDA SHINYANGA

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply