SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / CAF YATANGAZA KUIONDOA CHAD, YAPIGA FAINI YA SH MILIONI 44.


Shirikisho la Soka Africa (Caf), limetangaza kuiondoa Chad katika michuano ijayo kuwania kufuzu kucheza Afcon na mingine yote iliyo chini yake.

Kama hiyo haitoshi, Caf imetangaza kuitwanga Chad faini ya dolla 20,000 (zaidi ya Sh milioni 44) kutokana na kitendo chake cha kujiondoa katika michuano ya ya kuwania kucheza Afcon.


Chad ilitarajiwa kucheza kesho dhidi ya Taifa Stars kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam baada ya kuwa imetwangwa bao 1-0 kwao ND’jamena.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply