SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / BAYERN WATWAA UBINGWA WA 4 MFULULIZO, NI HISTORIA BUNDESLIGA.

BAYERN-MUNICH-HISTORIABayern Munich Leo wametwaa Taji lao la 25 la Bundesliga huku wakiwa na Mechi 1 mkononi baada ya kushinda Ugenini Bao 2-1 BUNDESLIGA-MEI18walipocheza na Ingolstadt.

Huu ni Ubingwa wa 4 mfululizo wa Bayern na hii imeweka Historia mpya huku Germany kwa Bayern kuwa Timu ya kwanza kutwaa Ubingwa mara 4 mfululizo.

Bao za Leo za Bayern zilifungwa na Robert Lewandowski na kumfanya aongoze Ufungaji Bora akiwa na Bao 29.

Moja ya Bao za Lewandowski ilikuwa ni Penati na Ingolstadt nao walifunga Bao lao kwa Penati ya Moritz Hartmann.

BUNDESLIGA
Ratiba – Mechi za mwisho za Msimu
Jumamosi Mei 14
Bayer 04 Leverkusen v FC Ingolstadt 04
Bayern Munich v Hannover 96
BV Borussia Dortmund v FC Koln
SV Werder Bremen v Eintracht Frankfurt
VfL Wolfsburg v VfB Stuttgart
FSV Mainz 05 v Hertha Berlin
TSG Hoffenheim v Schalke 04
FC Augsburg v Hamburger SV
Darmstadt v Borussia Monchengladbach

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply