• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / ZIARA YA KAMPENI YA MGOMBEA URAIS MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA JIMBONI VUNJO


Mgombea Urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia umoja wa katiba ya wananchi UKAWA Mh. Edward Lowassa akihutubia mamia ya wakazi wa jimbo la Vunjo Mkoani Kilimanjaro.

Mgombea ubunge wa Jimbo la Vunjo Mh James Mbatia akihutubia katika mkutano wa kampeni jimbo la Vunjo.

Mh James mbatia akisalimiana na mgombea Urais Mh Edward Ngoyai Lowassa wakati alipowasili jimboni Vunjo kwenye mkutano wa kampeni za Urais na Ubunge.











«
Next
NYOSSO ARUDIA YALEYALE YA MAGURI, SAFARI HII AMDHALILISHA BOCCO CHAMAZI, ATAKA KUMCHAPA...
»
Previous
WAHINDU WAADHIMISHA SIKU YA KUZALIWA MUNGU WAO MDOGO MWENYE DARAJA KUBWA WAMUWEKA BAHARINI JIJINI DAR ES SALAAM

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply