SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / ZIARA YA MHESHIMIWA LOWASSA WILAYA YA MISENYI


Mgombea Urais kupitia Chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye anaungwa mkono na vyama Vinavyounda Ukawa Edward Lowassa jana ameendelea na kampeni zake ambapo alikuwa wilaya ya Misenyi ambapo alilakiwa na maelfu ya watu.
Lowassa ambapo ametumia mkutano huo kuwataka Watanzania kujitokeza kwa wingi siku ya tarehe 25 Octoba mwaka huu kumchagua yeye ili aweze kuwaleta maendeleo kwa watanzania.



«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply