SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / CAPITAL ONE CUP: JUMANNE MABINGWA CHELSEA UGENINI, ARSENAL WAGENI WA SHEFFIELD, JUMATANO MAN UNITED NYUMBANI NA BORO!






CAPITALONECUP-CHELSEA2015Mechi za Raundi ya 4 ya Kombe la Ligi, Capital One Cup, zitachezwa Jumanne na Jumatano kwa Mechi 4 kila Siku,
Mabingwa Watetezi wa Kombe hili, Chelsea, Jumanne wapo Ugenini kucheza na wenzao wa Ligi Kuu England, Stoke City na Siku hiyo pia Arsenal watakuwa Wageni wa Timu ya Daraja la chini, Sheffield Wednesday
Jumatano, Manchester United wapo Nyumbani kwao Old Trafford kucheza na Middlesbrough wakati Man City nao wako Nyumbani kucheza na Crystal Palace.
Liverpool watakuwa kwao Anfield kuivaa Bournemouth.
Capital One Cup
Raundi ya 4
**Mechi zote kuanza Saa 4 Dak 45 Usiku ispokuwa inapotajwa
Jumanne Oktoba 27
Everton v Norwich City
Hull City v Leicester City
Sheffield Wednesday v Arsenal
Stoke City v Chelsea
Jumanne Oktoba 27
Liverpool v Bournemouth
Manchester City v Crystal Palace
Southampton v Aston Villa
2300 Manchester United v Middlesbrough

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply