• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / LA LIGA: VINARA REAL NA LAS PALMAS, BARCA KUKWEPA KUFUNGWA MARA YA 3 MFULULIZO UGENINI?





RONALDO MESSI-KUFUNGUA AKAUNTI WIKIENDI LA LIGAWAKATI Vinara wa La Liga Real Madrid wako Nyumbani hapo Jumamosi, Barcelona wao wako Ugenini wakikabiliwa na hatari ya kufungwa mara ya 3 mfululizo Ugenini.

Real inategemewa kuifunga Las Palmas lakini Barca, wakiwa bila ya Staa wao LALIGA-STAND-OKT30Lionel Messi ambae ni Majeruhi, wako Ugenini kucheza na Getafe huku wakiwania kutofungwa Ugenini kwa mara ya 3 mfululizo tangu iwatokee Mwaka 2002.

Real wao wanacheza na Las Palmas ambayo imeweza kushinda mara 1 tu katika Mechi zao 8 zilizopita.

Kileleni mwa La Liga wapo Real wenye Pointi 21 sawa na Barca lakini wao wana ubora wa Magoli wakati Atletico Madrid wapo Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 2 nyuma.

LA LIGA
RATIBA
**Saa za Bongo
Ijumaa Oktoba 30
2230 Deportivo La Coruna v Atletico de Madrid
Jumamosi Oktoba 31
1800 Real Madrid CF v Las Palmas
2015 Valencia C.F v Levante
2015 Villarreal CF v Sevilla FC
2230 Getafe CF v FC Barcelona
Jumapili Novemba 1
0005 Real Sociedad v Celta de Vigo
1400 SD Eibar v Rayo Vallecano
1800 RCD Espanyol v Granada CF
2015 Sporting Gijon v Malaga CF
2230 Real Betis v Athletic de Bilbao

«
Next
KLABU BINGWA AFRIKA-FAINALI: SAMATTA, ULIMWENGU JUMAMOSI VITANI NA TP MAZEMBE HUKO ALGERIA!
»
Previous
Mjane wa Deo Filikunjombe Atoa Ujumbe Mzito Kuhusu Maisha ya Ugumu Waliyopitia na Marehemu

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply