• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / PAMOJA NA USHINDI, KIWANGO CHA SIMBA CHAMKWAZA DYLAN KERR


KERR AKIZUNGUMZA NA WASAIDIZI WAKE, SELEMANI MATOLA NA KOCHA WA MAKIPA, IDDI SALIM KUTOKA KENYA WAKATI WA MECHI DHIDI YA COASTAL UNION, JANA/
Kocha wa Simba, Dylan Kerr amefurahia kikosi chake kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Coastal Union, jana.


Ushindi huo katika Ligi Kuu Bara umemfanya Kerr aongeze pointi tatu, lakini hajaridhishwa na uchezaji wa kikosi chake.

Kerr raia wa England anaamini Simba ina kikosi bora, lakini hakikuonyesha kandanda safi na ushindi huo ulikuwa sawa na wa kubahatisha.

“Hatukucheza vizuri, hakukuwa na juhudi ya kutosha kuhakikisha ushindi unapatikana.

“Lazima tubadilike na kufanya kazi zaidi. Wanasimba wanategemea mambo mengi yabadilike kupitia kikosi hiki, mimi sinafurahia sana,” alisema.


Simba ilishindwa kuonyesha kiwango bora katika mchezo huo na bahati ilipata bao la mapema kupitia Hamisi Kiiza.

«
Next
PICHA ZA ACTION SIMBA ILIVYOIMALIZA COASTAL UNION KWA BAO 1-0 JANA   
»
Previous
Uzushi Kuwa Irene Uwoya Amefariki Wasababisha Usumbufu Mkubwa Kwenye Familia

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply