Akimnadi mgombea urais kupitia CCM, rais Kikwete amesema wakati wa
uteuzi wa mgombea urais ndani ya chama walizingatia suala la afya za
wagombea na wakajiridhisha kuwa Magufuli yupo 'fiti' kiafya tofauti na
wagombea wengine. Haya sasa, wale mlokosa tano bora mna madhaifu gani?
#KutokaCCMKirumba
Hakuna maoni :