SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Zanzibar: Vijana Wawili Wapigwa Risasi Na Vikosi Vya Usalama



Kutoka Hospitali ya Mnazi Mmoja, taarifa ni kwamba wamepokelewa watu watatu waliojeruhiwa, wawili kati yao wakiwa wamepigwa risasi ambapo mmoja tayari anafanyiwa operesheni baada ya risasi kupitia ubavuni kuelekea ubavu mwengine.
 
Ripoti kutoka eneo la Jang'ombe zinaeleza kuwa vikosi vya usalama vilipita eneo hilo na kuwashambulia vijana waliokuwa wamejikusanya mitaani.

Chanzo : DW Swahili

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply