• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / WIKI JUMLISHA 3 IKIWA UGENINI, SAUDI ARABIA YAIFUMUA TIMOR MABAO 10-0



SAUDI ARABIA
Saudi Arabia imeitwanga East Timor kwa mabao 10-0 katika mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Dunia.

Saudi Arabia ambayo ilikuwa ugenini, imeinyanyasa timu hiyo ya Timor kwa kuitandika mabao hao 10 bila majibu.

TIMOR...
Hadi mapumziko, Saudi Arabia ilikuwa inaongoza kwa mabao mabao manne, kipindi cha pili ikaongeza mengine sita na kukamilisha idadi hiyo ya mabao sita.

Wageni hao ndiyo walionekana kuutawala mpira muda wote wangeweza kufunga hata mabao 15 au zaidi kama wangekuwa makini.

«
Next
TUSIUMIZE VICHWA KWA MAGOLI SABA TUUMIZE VICHWA KWENYE MIUNDOMBINU YA SOKA LETU.
»
Previous
ZLATAN KIBURI, JEURI! ATANGAZA KULISTAAFISHA SOKA TAIFA LOTE LA DENMARK

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply