SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / TUSIUMIZE VICHWA KWA MAGOLI SABA TUUMIZE VICHWA KWENYE MIUNDOMBINU YA SOKA LETU.




Timu ya taifa haiwezi kutengenezwa kwa midomo ya wanasoka bali ni matendo ya wanasoka. Shirikisho la soka Tanzania TFF linatakiwa liijue mbinu zinazotakiwa ili kuweza kuinua vipaji kwa ajili ya timu yetu ya Taifa. 

Haaiwezekani hata kidogo kuiweka timu ya taifa kambini kwa muda mfupi tukiwa na mawazo ya kuiondosha michuanoni timu iliyoyotikisa katika kombe la dunia msimu uliopita. Tunapaswa kuweka mipango endelevu ya soka na si mipango ya mwezi au wiki na kujiwekea matumaini hewa.

 Ni  maoni yangu tu

BALTAZARY AROBOGASTI

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply