• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / TUSIUMIZE VICHWA KWA MAGOLI SABA TUUMIZE VICHWA KWENYE MIUNDOMBINU YA SOKA LETU.




Timu ya taifa haiwezi kutengenezwa kwa midomo ya wanasoka bali ni matendo ya wanasoka. Shirikisho la soka Tanzania TFF linatakiwa liijue mbinu zinazotakiwa ili kuweza kuinua vipaji kwa ajili ya timu yetu ya Taifa. 

Haaiwezekani hata kidogo kuiweka timu ya taifa kambini kwa muda mfupi tukiwa na mawazo ya kuiondosha michuanoni timu iliyoyotikisa katika kombe la dunia msimu uliopita. Tunapaswa kuweka mipango endelevu ya soka na si mipango ya mwezi au wiki na kujiwekea matumaini hewa.

 Ni  maoni yangu tu

BALTAZARY AROBOGASTI

«
Next
BRAHIMI ASEMA HIMID, MAGURI, ULIMWENGU NA SAMATTA NI VIWANGO VYA ULAYA
»
Previous
WIKI JUMLISHA 3 IKIWA UGENINI, SAUDI ARABIA YAIFUMUA TIMOR MABAO 10-0

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply