SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / CHELSEA YAWAONYESHA KAZI WAISRAEL WAKIWA KWAO, YAWACHAPA NNE MTUNGI

 
Chelsea imeitwanga Maccabi Haifa kwa mabao 4-0 ikiwa nyumbani Tel Aviv, Israel.


Mabao ya Chelsea katika mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya yamefungwa na Cahill, William, Oscar na Zouma.
CHELSEA: Begovic; Azpilicueta, Cahill, Terry (c)/Zouma, Rahman; Fabregas, Matic; Willian, Oscar, Hazard/Pedro; Costa
SUBS: Blackman, Ivanovic, Zouma, Mikel, Loftus-Cheek, Pedro, Remy


 Kwa ushindi huo, Chelsea imechukua uongozi wa Kundi G baada ya kufikisha pointi 10, sawa na FC Porto ambayo imechezea kichapo cha mabao 2-0.






«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply