SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Hili la Mwenyekiti wa Chadema Geita Kuuawa Kinyama Namna ile Kisa Uchaguzi wa Kata.. Linauma Sana....Je na Lenyewe Litapita Hivi Hivi?


Si wakati wa kuonyesha tofauti zetu za kiitikadi, ni wakati wa kuona lipi ni sahihi na lipi si sahihi. Kama Mtanzania ninapoona Mtanzania mwenzangu amekatishwa maisha yake kwa mtindo wa kinyama namna ile ninaumia. Wahusika wa tukio hili hawana budi kuchukuliwa hatua bila kujali walitenda hili kwa lengo gani. Sheria ionyeshe kua yenyewe ni msumeno na kweli ukata huku na huku. Kuna mambo tukiyafungia macho matokeo yake yatakuja kutuathiri baadae. By Glory Tausi

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply