SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / FIGISU ZAANZIA AIRPORT ALGERIA, LAKINI STARS YATUA SALAMA HOTELINI


HOTELI YA VILLE DES ROSES WALIYOFIKIA STARS MJINI BILDA.
Waalgeria hawaishi figisu, maana walitaka kuanzisha tafrani makusudi na kuichelewesha Taifa Stars mara baada ya kuwasili Airport jijini Algers.


Lakini viongozi wa TFF waliongoza na kikosi cha Stars pamoja na Watanzania wengine wakawa wakali na kuweza ‘kuwawini’ Waalgeria hao.

Baada ya hapo Stars ikaanza safari hadi katika hoteli ya
Hotel Ville Des Roses katika mji wa Bilda.

Hadi sasa wachezaji wote wa Stars tayari wako hotelini wakipumzika vyumbani.






«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply