• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Jack Wolper Adai Hakika LOWASSA Ni Shupavu na Jasiri Haijawahi Tokea


Jackline Wolper
Msanii wa filamu nchini Tanzania, Jacqueline Wolper, aliyekuwa mstari wa mbele kumsapoti mgombea urais kwa mwavuli wa UKAWA Mhe. Edward Lowassa, amedai kuwa kwake yeye mheshimiwa huyo ndiye kiongozi shupavu na jasiri.
Wolper, amemmwagia sifa lukuki waziri mkuu huyo wa zamani na kuwataka Watanzania kuwa pamoja katika kuijenga nchi na kudai kuwa Mh. Lowassa amekuwa mstari wa mbele kwa kupambana kwa kuleta mabadiliko kwa watanzania.

Amenukuliwa akisema kuwa anaamini kuwa Lowassa, ameleta historia kubwa sana nchini kwasababu haijawahi kutokea Tanzania, kwani ametuma ujumbe kwa viongozi wengine ambao walikua wazembe na waliojisahau na kudai kuwa anaamini wataifanya nchi kuwa mpya.

Ameongeza kuwa yeye bado anaamini Lowassa ni kiongozi shupavu, muelewa na mwenye akili za kupambanua mambo, na kusema kuwa kushindwa kwake haijalishi kwa sababu anaamini watanzania wanamkubali hasa kwenye mabadiliko.

Aidha, amewataka wasanii wenzake ambao wapo CCM wasijengeane chuki kwa yaliyotokea kwani aliamua kutafuta haki yake ya msingi akiwa kama msanii.

Sambamba na hilo amedai kuwa kwa wana mabadiliko wenzake waendelee kupambana na watakao wawakilisha bungeni wafanye kazi ya maana hasa kuwatetea wanyonge.

«
Next
Moses Iyobo Awacharukia Wanaosema Mpenzi wake Aunty Ezekiel ni Mzee
»
Previous
Lowassa: Awamu ya Pili ya Safari ya Kwenda Ikulu inakuja

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply