SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / MATOLA AWALAZIMISHA SIMBA KUFANYA KIKAO CHA DHARURA


Kamati ya utendaji ya Simba itafanya kikao cha dharura, leo.


Kikao hicho cha dharura kinafanyika baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola.

Matola ameachia ngazi baada ya kuelezwa kwamba hakuwa akielewana na Kocha Mkuu, Dylan Kerr.

“Kweli kutakuwa na kikao cha kamati ya utendaji kuhusiana na suala hilo,” chanzo kilieleza.


Kikao hicho kitamjumuisha Rais wa Simba, Evans Aveva na taarifa za ndani zimeelza suala la kujadili atakayechukua mikoba ya Matola litachukua nafasi kubwa.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply