SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / ALGERIA WANATUA SAA 12 JIONI, WATAFANYA MAZOEZI SIKU MOJA TU, KESHO



Kikosi cha timu ya taifa ya Algeria kinatarajiwa kuwasili nchini leo saa 12 jioni kwa ajili ya mechi ya Jumamosi.

Algeria watafanya mazoezi siku moja kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kabla ya mechi ya Jumamosi.

Timu hiyo inatarajia kufikia katika hoteli ya Kilimanjaro Kempinsky wakati Taifa Stars ipo umbali wa karibu kilomita moja katika hoteli ya Serena, zote mbili ziko katikati ya mji.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply