SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / SIMBA SC WANAVYOJIANDAA KWA AJILI YA AZAM FC MWEZI UJAO



Nahodha wa Simba SC, Mussa Hassan Mgosi akikimbia katika mazoezi ya timu hiyo jana Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kujiadaa na mchezo dhidi ya Azam FC Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Desemba 12, mwaka huu. 
Brian Majwega kulia akikimbia huku kocha Dylan Kerr akimtazama
Danny Lyanga akikimbia mbele ya wenzake jana Chuo Kikuu
Peter Mwalyanzi akikimbia mbele ya wenzake katika mazoezi ya jana jioni
Joseph Kimwaga akitimua mbio mbele ya Mwinyi Kazimoto jana UDSM

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply