SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / TAARIFA ZA BOMU JIJINI PARIS, POLISI WAWAONDOA WACHEZAJI WA UJERUMANI HOTELINI




Polisi wamelazimika kuwatoa wachezaji wa timu ya taifa Ujerumani mjini Paris, Ufaransa baada ya kuwepo kwa taarifa ya bomu.



Taarifa hizo zilitolewa na mtu mmoja aliyejiita raia mwema akidai kuna bomu eneo hilo.
 
Ilikuwa ni saa 3:50 asubuhi, Polisi wa Ufaransa walipolazimika kufika hotelini hapo na kuwaondoa wachezaji hao wa timu ya taifa ya Ujerumani walio mjini hapo kujiandaa na mechi yao kirafiki dhidi ya wenyeji Ufaransa, leo.

Hata hivyo uchunguzi wa mwisho wa polisi baadaye ulibaini eneo hilo lilikuwa salama.







«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply