SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / UGANDA YAWA YA KWANZA KUFUZU HATUA YA MAKUNDI KOMBE LA DUNIA


Kikosi cha Uganda kimekuwa kikosi cha kwanza kufuzu katika hatua ya makundi kuwania kucheza Kombe la Dunia kwa ukanda wa Afrika Mashariki.

Uganda maarufu kama The Cranes wameitwanga Togo kwa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Mandela jijini Uganda, leo.

Hivyo kufanya isonge kwenye makundi kwa jumla ya mabao 4-0 kwa kuwa ikiwa ugenini mjini Lome ilishinda kwa bao 1-0.

Bado inaonekana nafasi ni ngumu kwa timu nyingine za ukanda wa Afrika Mashariki kama Tanzania, Kenya, Burundi, Rwanda, Ethiopia na Sudan bado hazina uhakika wa kuvuka

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply