SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / LIGI YA MABINGWA AFRIKA: CAF YAIPANGIA YANGA TIMU YA MAURITIUS



Shirikisho la Soka Afrika (Caf) limeipanga Yanga kuanza na Cercle de Joachim ya Mauritius katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Yanga ndiyo mabingwa wa Tanzania na wawakilishi katika Ligi ya Mabingwa ambayo ni michuano mikubwa zaidi kwa ngazi ya klabu.


Kwa mujibu wa ratiba ya Caf, iwapo Yanga itaishinda timu hiyo ya Mauritius, itakutana na mshindi kati ya Mbabane Swallows ya Swaziland na APR ya Rwanda. 

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply