SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / 'MKENYA' ORIGI AIKOA LIVERPOOL 'JIONI' YAPATA SARE YA 2-2



Liverpool imesalimika kwa bao la dakika ya 90 lla Divok Orig ambalo limeisaidia kupata sare ya 2-2 dhidi ya Wes Brom katika mechi kali ya Ligi Kuu England.

Liverpool ilitangulia kufunga lakini mabao mawili ya Crag Dawson na Jonas Olsson yaliifanya iwe nyuma kwa mabao 2-1 hadi dakika ya 90 Origi raia wa Ubelgiji mwenye asili ya Kenya alipofunga bao hilo la kusawazisha.

LIVERPOOL:
 Mignolet, Clyne, Skrtel, Lovren, Moreno, Can, Milner, Henderson, Lallana, Coutinho, Benteke
Subs: Bogdan, Toure, Firmino, Lucas, Allen, Origi, Ibe

WES BROM:
Myhill, Dawson, McAuley, Olsson, Evans, Brunt, Fletcher, Gardner, McClean, Morrison, Rondon
Subs: Chester, Gnabry, McManaman, Berahino, Lambert, Anichebe












«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply