SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / MZEE WA MANENO LAKI SITA, JOSE MOURINHO ATOA KAULI HII KUHUSU DIEGO COSTA.

Jose Mourinho amegoma kukanusha taarifa za Diego Costa kurejea Atletico Madrid, lakini ameendelea kushikilia msimamo kwamba mshambuliaji huyo ana furaha Chelsea.
Costa (left) shakes hands with Blues manager Jose Mourinho during the Champions League clash with Porto

'Atletico ni timu kubwa. Madrid ni mji mkubwa. La Liga ni ligi kubwa.
"Kwanini mchezaji mwenye umri wa miaka 27 asifikirie uwezekano wa kurudi huko? Sioni kama ni tatizo.
Brazil-born Spain international Costa has scored four times this season and just seven goals since January

'Ana furaha hapa. Anapenda kuendelea kuwepo hapa. Nadhani ni miongoni mwa wachezaji ambao wataongeza miaka zaidi katika mikataba yao. Nadhani nitamuona akiendelea kukaa Chelsea kwa miaka mingine mitatu, sioni tatizo".Alisema Mourinho.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply