SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / ALLY YANGA ANASURIKA KIFO AJALI MBAYA YA BODABODA


 Shabiki maarufu wa Yanga, Ally Yanga jana alikutana na masaibu kutokana na ajali ya bodada.

Ally Yanga alipata ajali hiyo katika eneo la Kwa Sokota na kukimbizwa katika Hospitali ya Serikali ya Temeke ambako alipatiwa matibabu.

Taarifa zinaeleza alikuwa na michubuko na alifikishwa hospitalini hapo akiwa katika baiskeli ya magurudumu.

“Alipatiwa matibabu na anaendelea vizuri lakini ajali ilikuwa mbaya,” alieleza shuhuda wa ajali hiyo iliyotokea, Ally akiwa njiani kurejea nyumbani baada ya ushindi wa mabao 5-0 ilioupata Yanga dhidi ya Majimaji ya Songea.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply