SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / Joh Makini,G-Nako na Vanessa Mdee Waingia Studio Kuandaa Kazi Mpya

Ni kazi baada ya kazi. Joh Makini na G-Nako pamoja na Vanessa Mdee wameingia studio ya The Industry na producer Nahreel kwa ajili ya maandalizi ya kazi mpya.

Kupitia Instagram, Joh Makini ameandika: Cooking #GoodMusicFamily #theindustrystudio unajua vile inakuaa G.Nako, Vanessa, Chinbees and Ahpha #January 2016.”

The Industry imekuwa na chemistry nzuri na wasanii hao baada ya kutengeneza hits zao kadhaa.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply