SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / KOCHA MFARANSA ALIYETIMULIWA LILLE, ABEBA TUZO YA KOCHA BORA BARANI AFRIKA 2015



Kocha Herve Renard wa Ivory Coast ameteuliwa kuwa Kocha Bora barani Afrika. Kocha huyo ameshinda tuzo hiyo katika tamasha la kuwatuza wachezaji bora wa Afrikazilizofanyika jana jijini Abuja, Nigeria.

Renard raia wa  Ufaransa ameteuliwa kuwa kocha bora kutokana na mafanikio yake kwa mwaka 2015. Mpinzani mkubwa kwake alionekana ni Patrice Carteron, hata hivyo hakufua dafu.



Kocha huyo ameiwezesha Ivory Coast kubeba ubingwa wa Afrika ikiwa ni mara yake ya pili kufanya hivyo baada ya miaka michache kuwa ameiwezesha Zambia kubeba ubingwa wa Afrika.

Lakini Novemba 11, mwaka jana kocha huyo alitimuliwa kazi Lille ya Ufaransa baada ya kuingoza timu hiyo kucheza mechi 13, ikaambulia pointi 13 tu.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply