Weekend iliyopita kipindi cha D’Weekend Chat Show cha Clouds TV
kilijaribu kuwakutanisha Shilole na aliyekuwa boyfriend wake, Nuh
Mziwanda kwa lengo la kutaka kuwapatanisha.
Jitihada za kuwakutanisha studio (bila wao kufahamu) zilifanikiwa,
lakini lengo la kutaka kuwapatanisha liligonga mwamba, na Shilole
alionekana kuchukizwa na kitendo cha kukutanishwa na ex wake bila
mwenyewe kuridhia, huku Nuh alionekana kuwa tayari kile kilichokusudiwa
kufanywa.
Hakuna maoni :