SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / WAMEREKANI NAO WAMBAMBIKA MBWANA SAMATTA URAIA WA TUNISIA


Pamoja na umahiri wa mtandao wa Wikipedia lakini ajabu umeshindwa kujua uraia wa Mbwana Samatta.

Ile ishu ya wengi duniani kuendelea kuamini Tanzania haiwezi kutoa mwanasoka bora Afrika imeendelea.

Safari hii mtandao wa runinga maarufu ya NBC ya Marekani, wao wamembandika Samatta uraia wa Marekani.

Kupitia mtandao wao wa www.nbcsports.com wameandika Samatta ni mchezaji bora Afrika kwa wanaotokea ndani ya Afrika akiwa anatokea nchini Tunisia!

Kabla ya hapo, mtandao mwingine wa wikipidia nao ulimbandika Samatta uraia wa RD Congo.


Mtandao huo maarufu duniani ulionyesha Samatta ni raia wa DR Congo. Lakini baada ya saa kadhaa ulibadili na kuweka taarifa mpya inayoonyesha kuwa uraia wake ni Tanzania ikiwa ni sehemu ya kurekebisha kosa hilo.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply