SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / LEWANDOSWKI APIGA MBILI NA KUMBEBA GUARDIOLA MWENYE JINAMIZI LA KUHAMIA MAN CITY.


Bayern Munich imeshinda kwa mabao 3-0 dhidi ya Bochum katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Ujeurmani.

Shukurani kwa mshambuliaji Robert Lewandowski aliyefunga mabao mawili yaani brace na kusaidia kupunguza presha kwa kocha Pep Guardiola anayehamia Man City.

Guardiola amekuwa kwenye presha kubwa kutoka kwa magwiji wa Bayern ambao wanaamini hawezi kukubaliana na timu nyingine suala la kuhamia kabla ya kumalizana na klabu hiyo kwa maana ya kumaliza kazi zake.


Wanaamini hawezi kuwekeza akili zake zote Munich. Lakini ushindi huo, unazidi kupunguza presha hiyo.






«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply