SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / REFA MWANAMAMA, MMWAGA KADI APEWA PAMBANO LA YANGA VS SIMBA JUMAMOSI.

 



Mwamuzi mwanadada anayeongoza kwa kumwaga kadi, Jonesia Rukiyaa ndiye atakayechezesha mechi ya watani Yanga na Simba.


Mwanadada huyo kutoka Kagera, mara ya mwisho alichezesha mechi ya watani katika pambano la Nani Mtani Jembe ambalo Simba ilishinda kwa bao 2-0.

Hata hivyo, Jonesia anasifika kwa kutoa kadi kama njugu na faulo nyingi anachoangalia ni sheria na hakuna nafasi ya busara.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply