SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / SIMBA YAONDOKA SHINYANGA, YAANZA SAFARI YA KWENDA KAMBINI MOROGORO.


Simba imeanza safari ya kwenda Morogoro ambako itaweka kambi yake kwa ajili ya kujiandaa kabla ya mechi yao ya Jumamosi dhidi ya watani wao Yanga.

Simba imeondoka Shinyanga leo asubuhi ikiwa imekamilisha kazi yake ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Stand United.

Sasa iko kileleni mwa Ligi Kuu Bara, inakutana na wapinzani wake Yanga wakiwa na kiporo cha mechi moja.


Kikosi cha Simba kinasafiri kwenda Morogoro kuweka kambi hiyo, tofauti na awali Simba ilikuwa ikiweka kambi yake mjini Zanzibar.

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply