SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / VPL: SIMBA KUIVUNJA STAND KAMBARAGE JUMAMOSI.

PATA TAARIFA TOKA TFF:
LIGI KUU MZUNGUKO WA 19
VPL-SIT-LOGOLigi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo saba kuchezwa katika viwanja tofauti, huku kila timu ikisaka pointi tatu muhimu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi hiyo.

VPL-FEB12
Jumamosi, Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, Stand United watawakaribisha Simba SC, Mgambo Shooting v African Sports (Mkwakwani), Mbeya City v Toto Africans (Sokoine), Ndanda FC v Majimaji (Nangwanda) na JKT Ruvu v Kagera Sugar uwanja wa Karume jijini Dar es salaam.

Jumapili ligi hiyo itaendelea kwa michezo miwili, Mwadui FC watakua wenyeji wa Tanzania Prisons kwenye uwanja wa Mwadui Complex, huku Coastal Union wakicheza dhidi ya Azam FC uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.

IMETOLEWA NA TFF


VPL-LIGI KUU VODACOM
Ratiba
Jumamosi Februari 13
Stand United v Simba       
Mgambo JKT v African Sports     
Mbeya City v Toto Africans
Ndanda FC v Majimaji      
JKT Ruvu v Kagera Sugar 
 
Jumapili Februari 14
Mwadui FC v Tanzania Prisons    
Coastal Union v Azam FC 
 
Jumamosi Februari 20
Yanga v Simba       
Mgambo JKT v Tanzania Prisons  
Stand United v JKT Ruvu   
Mbeya City v Azam FC      
Majimaji v Mtibwa Sugar   
Toto Africans v Kagera Sugar 
     
Jumapili Februari 21
Ndanda FC v African Sports        
Mwadui FC v Coastal Union

«
Next

Chapisho Jipya

»
Previous

Taarifa za zamani

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply