• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / AZAM FC IKO TAYARI KWA AJILI PRISONS, YAITA MASHABIKI CHAMAZI.


Pamoja na ugumu wa mechi dhidi ya Prisons katika Kombe la Shirikisho, Uongozi wa Azam FC, umesema unataka ushindi na umewaita mashabiki wake.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad Kawemba amesema wanataka kushinda mechi hiyo na wamejiandaa hasa.

"Mashabiki wetu waje kwa wingi kutuunga mkono. Tumejiandaa kwa ajili ya mechi hiyo ingawa tunajua ubora wa Prisons lakini sisi tuna kikosi bora zaidi," alisema.

Mechi hiyo ya Azam FC na Prisons inasubiriwa kwa hamu kwa kuwa inakutanisha timu zenye kiwango cha juu katika ligi.

«
Next
JE Umeshawahi Kufikiria Mchezaji MBWANA SAMATTA Analipwa Mshahara Kiasi Gani Kwa Mwezi? Jibu Lipo Hapa
»
Previous
ARGENTINA: MESSI AINYEMELEA REKODI YA BATISTUTA.

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply