• Manchester City (4-2-3-1): Hart 7, Maffeo 6.5, Stones 7 (Adarabioyo 60, 6)...

  • SALVATORY EDWARD Kiungo wa zamani wa timu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya Kide...

  • Baada ya kikosi cha Mwadui FC kuchapwa kwa bao 1-0 katika mechi yao ya Lig...

  • Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeweka bayana kuwa, lipo kwenye mpango wa ...

SIASA

SIASA

MAONI

MAONI

BURUDANI

MICHEZO

/ / SERIE A: JUVENTUS KUIVAA PALERMO WAKIELEKEA KUBEBA TAJI.

JUVE-SERIEA-4JUUMABINGWA na Vinara wa Serie A huko Italy, Juventus, Jumapili wanakabiliwa na Mechi laini Uwanjani kwao dhidi ya Palermo ambayo haijashinda Mechi 11 zaSERIEA-APR15 Ligi. Juve, chini ya Kocha Massimiliano Allegri, wameshinda Mechi 19 kati ya 20 walizocheza na Palermo Juventus Stadium na Msimu uliopita kwenye Mechi kama hii, Juve waliifunga Palermo 2-0.

Timu ya Pili kwenye Serie A, Napoli, ambayo iko Pointi 6 nyuma ya Juve huku zimebaki Mechi 6, wanacheza Leo Ugenini huko San Siro dhidi ya Inter Milan.

VIKOSI VINATARAJIWA KUWA:
Juventus: Buffon; Barzagli, Bonucci, Rugani; Cuadrado, Khedira, Marchisio, Pogba, Evra; Mandzukic, Dybala
Kifungoni: Zaza
Palermo: Sorrentino; Marganella, Gonzalez, Andelkovic, Lazaar; Hiljemark, Jajalo, Chochev; Brugman; Gilardino, Vazquez
Kifungoni: Quaison

SERIE A
Ratiba
**Saa za Bongo
Jumamosi Aprili 16
1600 Bologna FC v Torino FC
1900 Carpi v Genoa CFC
2145 Inter Milan v SSC Napoli

Jumapili Aprili 17
1330 Atalanta v AS Roma
1600 Juventus FC v U.S. Citta di Palermo
1600 Udinese Calcio v AC Chievo Verona
1600 Hellas Verona FC v Frosinone Calcio
1600 ACF Fiorentina v US Sassuolo Calcio
1900 SS Lazio v Empoli
2145 UC Sampdoria v AC Milan

«
Next
LEMUTUZ Afunguka Kuhusu Kijana Aliyekamatwa Arusha Kwa Kumwita Rais Bwege..Ailaumu Serikali na Polisi.
»
Previous
MMILIKI WA LEICESTER CITY ATUA MAZOEZINI NA HELKOPTA KUWASHUKUDIA VIJANA WAKE.

About Unknown

Asante kwa kutembelea SELASINI HABARI,NITAKUHABARISHA, KUKUELIMISHA NA KUKUBURUDISHA HIVYO USIKOSE KUTEMBELEA SELASINIHABARI.BLOGSPOT.COM.

Hakuna maoni :

Leave a Reply